Wednesday, 22 March 2017

MUMSO: Yatarajia Kutumia Milioni 7 Ujenzi wa Vimbweta

Serikali ya wanafunzi ya Chuo kikuu cha Waislamu Morogoro inatarajia kutumia Tsh Milioni 7  katika Ujenzi wa Vimbweta chuoni hapa.
Hayo yalisemwa na Rais wa serikali ya Wanafunzi MUM tarehe 19-Machi-2017


Pichani ni mfano wa kimbweta kilichopo hapa chuon.

BONYEZA

No comments:

Post a Comment