Wednesday, 22 March 2017

KIKAO CHA MAADILI MUM MARCH-2017

Kamati ya  Maadili ya Wanafunzi-MUM inawataarifu kuwa kutakuwa na Kikao Cha Maadili Cha Kwanza Kwa Semisiter ya pili.

Siku: Ijumaa

Tarehe: 24/Machi/2017

Muda: Saa 10:20 jioni baada ya Swala ya Alasiri

Mahali: NAH (White Tent)

Wahusika: Wanafunzi wote wa MUM, NGAZI ZOTE

No comments:

Post a Comment